Isaya 46:7
Huiinua mabegani na kuichukua; huiweka mahali pake, papo hapo ndipo isimamapo. Wala haiwezi kusogea kutoka mahali pale. Ingawa mtu huililia, haimjibu; haiwezi kumwokoa kwenye taabu zake.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- סָבַלçâbalto carry (literally or figuratively), or (reflexively) be burdensome; specifically, to be
- מוּשׁmûwshto withdraw (both literally and figuratively, whether intransitive or transitive)
- צָעַקtsâʻaqto shriek; (by implication) to proclaim (an assembly)
- כָּתֵףkâthêphthe shoulder (proper, i.e. upper end of the arm; as being the spot where the garments hang
- יָנַחyânachto deposit; by implication, to allow to stay
- יָשַׁעyâshaʻproperly, to be open, wide or free, i.e. (by implication) to be safe; causatively, to free
- עָנָהʻânâhproperly, to eye or (generally) to heed, i.e. pay attention; by implication, to respond; b
- מָקוֹםmâqôwmproperly, a standing, i.e. a spot; but used widely of a locality (general or specific); al
+maneno 2 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.