Isaya 45:14
Hili ndilo asemalo Mwenyezi Mungu: “Mazao ya Misri na bidhaa za Kushi, nao wale Waseba warefu, watakujia na kuwa wako, watakujia wakijikokota nyuma yako, watakujia wamefungwa minyororo. Watasujudu mbele yako, wakikusihi na kusema, ‘Hakika Mungu yu pamoja nawe, wala hakuna mwingine; hakuna Mungu mwingine.’ ”Isaya 45:14 katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- סְבָאִיÇᵉbâʼîya Sebaite, or inhabitant of Seba
- סָחַרçâcharan emporium; abstractly, profit (from trade)
- זִיקָהzîyqâhproperly, what leaps forth, i.e. flash of fire, or a burning arrow; also (from the origina
- יְגִיעַyᵉgîyaʻtoil; hence, a work, produce, property (as the result of labor)
- כּוּשׁKûwshCush (or Ethiopia), the name of a son of Ham, and of his territory; also of an Israelite
- אֶפֶסʼepheçcessation, i.e. an end (especially of the earth); often used adverb, no further; also the
- מִדָּהmiddâhproperly, extension, i.e. height or breadth; also a measure (including its standard); henc
- פָּלַלpâlalto judge (officially or mentally); by extension, to intercede, pray
+maneno 9 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Isa 49:23, 1Co 14:25, Jer 16:19, Act 10:25–26, Isa 61:5–6, Zec 8:20–23, Psa 149:8, Rev 3:9

