Isaya 37:38
Siku moja, alipokuwa akiabudu katika hekalu la mungu wake Nisroki, wanawe Adrameleki na Shareza wakamuua kwa upanga, nao wakakimbilia nchi ya Ararati. Naye Esar-Hadoni mwanawe akawa mfalme baada yake.Isaya 37:38 katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- נִסְרֹךְNiçrôkNisrok, a Babylonian idol
- אֲדְרַמֶּלֶךְʼĂdrammelekAdrammelek, the name of an Assyrian idol, also of a son of Sennacherib
- אֵסַר־חַדּוֹןʼÊçar-ChaddôwnEsar-chaddon, an Assyrian king
- אֲרָרַטʼĂrâraṭArarat (or rather Armenia)
- שַׁרְאֶצֶרSharʼetserSharetser, the name of an Assyrian and an Israelite
- מָלַטmâlaṭproperly, to be smooth, i.e. (by implication) to escape (as if by slipperiness); causative
- שָׁחָהshâchâhto depress, i.e. prostrate (especially reflexive, in homage to royalty or God)
- חֶרֶבcherebdrought; also a cutting instrument (from its destructive effect), as a knife, sword, or ot
+maneno 5 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Kilichobaki
- Esar-hadoni kuhusu kuuawa kwa baba yakeAmetajwa nje ya BibliaKuuawa kwa Senakeribu na wanawe mwenyewe, na kuingia madarakani kwa Esar-hadoni, kumeandikwa na Esar-hadoni mwenyewe.

