Isaya 37:27
Watu wa miji hiyo wameishiwa nguvu, wanavunjika mioyo na kuaibishwa. Wao ni kama mimea katika shamba, kama machipukizi mororo ya kijani, kama majani yachipuayo juu ya paa la nyumba, ambayo hukauka kabla ya kukua.Isaya 37:27 katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- יָרָקyârâqproperly, green; concretely, a vegetable
- קָצֵרqâtsêrshort (whether in size, number, life, strength or temper)
- שְׁדֵמָהshᵉdêmâha cultivated field
- דֶּשֶׁאdesheʼa sprout; by analogy, grass
- חָצִירchâtsîyrgrass; also a leek (collectively)
- גָּגgâga roof; by analogy, the top of an altar
- עֶשֶׂבʻesebgrass (or any tender shoot)
- חָתַתchâthathproperly, to prostrate; hence, to break down, either (literally) by violence, or (figurati
+maneno 5 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Psa 129:6, Jas 1:10–11, Psa 103:15, Isa 19:16, Psa 37:2, Psa 92:7, 1Pe 1:24, Psa 90:5–6