Isaya 36:16
“Msimsikilize Hezekia. Hili ndilo mfalme wa Ashuru asemalo: Fanyeni amani nami na mje kwangu. Kisha kila mmoja wenu atakula kutoka kwa mzabibu wake na mtini wake mwenyewe, na kunywa maji kutoka kisima chake mwenyewe,Isaya 36:16 katika ulimwengu halisi
Wapi
Nani
Kwa maneno gani
- תְּאֵןtᵉʼênthe fig (tree or fruit)
- גֶּפֶןgephena vine (as twining), especially the grape
- בְּרָכָהBᵉrâkâhbenediction; by implication prosperity
- חִזְקִיָּהChizqîyâhChizkijah, a king of Judah, also the name of two other Israelites
- אַשּׁוּרʼAshshûwrAshshur, the second son of Shem; also his descendants and the country occupied by them (i.
- שָׁתָהshâthâhto imbibe (literally or figuratively)
- מַיִםmayimwater; figuratively, juice; by euphemism, urine, semen
- אָכַלʼâkalto eat (literally or figuratively)
+maneno 6 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
