Isaya 36:12
Lakini yule jemadari wa jeshi akajibu, “Je, bwana wangu amenituma kutoa ujumbe huu kwa bwana wenu na kwenu tu? Je, hakunituma pia kwa watu walioketi ukutani, ambao, kama ninyi, itawabidi kula mavi yao na kunywa mkojo wao wenyewe?”Isaya 36:12 katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- חֶרֶאchereʼexcrement
- צוֹאָהtsôwʼâhexcrement; generally, dirt; figuratively, pollution
- רַבְשָׁקֵהRabshâqêhRabshakeh, a Babylonian official
- חוֹמָהchôwmâha wall of protection
- שָׁתָהshâthâhto imbibe (literally or figuratively)
- רֶגֶלregela foot (as used in walking); by implication, a step; by euphemistically the pudenda
- אָדוֹןʼâdôwnsovereign, i.e. controller (human or divine)
- מַיִםmayimwater; figuratively, juice; by euphemism, urine, semen
+maneno 7 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Lev 26:29, 2Ki 18:27, Jer 19:9, 2Ki 6:25–29, Lam 4:9–10, Deu 28:53–57, Ezk 4:16, Isa 9:20