Isaya 36:10
Zaidi ya hayo, je, nimekuja kushambulia na kuangamiza nchi hii bila Mwenyezi Mungu? Mwenyezi Mungu mwenyewe ndiye aliniambia niishambulie nchi hii na kuiangamiza.’ ”Isaya 36:10 katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- בִּלְעֲדֵיbilʻădêyexcept, without, besides
- שָׁחַתshâchathto decay, i.e. (causatively) ruin (literally or figuratively)
- עָלָהʻâlâhto ascend, intransitively (be high) or actively (mount); used in a great variety of senses
- אֶרֶץʼeretsthe earth (at large, or partitively a land)
- אָמַרʼâmarto say (used with great latitude)
- יְהֹוָהYᵉhôvâhJehovah, Jewish national name of God
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.