Isaya 31:1
Ole wao wale wanaoshuka Misri kutafuta msaada, wale wanaotegemea farasi, wanaoweka tumaini katika wingi wa magari yao ya vita, na katika nguvu nyingi za wapanda farasi, lakini hawamwangalii yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli, wala hawatafuti msaada kwa Mwenyezi Mungu.Isaya 31:1 katika ulimwengu halisi
Wapi
Nani
Kwa maneno gani
- עָצַםʻâtsamto bind fast, i.e. close (the eyes); intransitively, to be (causatively, make) powerful or
- שָׁעָהshâʻâhto gaze at or about (properly, for help); by implication, to inspect, consider, compassion
- שָׁעַןshâʻanto support one's self
- עֶזְרָהʻezrâhaid
- פָּרָשׁpârâsha steed (as stretched out to a vehicle, not single nor for mounting ); also (by implicatio
- הוֹיhôwyoh!
- קָדוֹשׁqâdôwshsacred (ceremonially or morally); (as noun) God (by eminence), an angel, a saint, a sanctu
- בָּטַחbâṭachfiguratively, to trust, be confident or sure
+maneno 8 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
