Isaya 29:8
kama vile mtu aliye na njaa aotavyo kuwa anakula, lakini huamka, bado njaa yake ingalipo, kama vile mtu mwenye kiu aotavyo kuwa anakunywa maji, lakini huamka akiwa anazimia, akiwa bado angali ana kiu. Hivyo ndivyo itakavyokuwa kwa makundi yote ya mataifa yanayopigana dhidi ya Mlima Sayuni.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Wapi
Kwa maneno gani
- שָׁקַקshâqaqto course (like a beast of prey); by implication, to seek greedily
- צָמֵאtsâmêʼthirsty (literally or figuratively)
- צָבָאtsâbâʼto mass (an army or servants)
- רֵיקrêyqempty; figuratively, worthless
- עָיֵףʻâyêphlanguid
- רָעֵבrâʻêbhungry (more or less intensely)
- קוּץqûwtsto awake (literally or figuratively)
- חָלַםchâlamproperly, to bind firmly, i.e. (by implication) to be (causatively to make) plump; also (t
+maneno 7 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
