Isaya 28:7
Hawa pia wanapepesuka kwa sababu ya mvinyo, wanayumbayumba kwa sababu ya kileo: Makuhani na manabii wanapepesuka kwa sababu ya kileo, wanachanganyikiwa kwa sababu ya mvinyo; wanapepesuka wanapoona maono, wanajikwaa wanapotoa maamuzi.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- פּוּקpûwqto waver
- רֹאֶהrôʼeha seer (as often rendered); but also (abstractly) a vision
- שָׁגָהshâgâhto stray (causatively, mislead), usually (figuratively) to mistake, especially (morally) t
- שֵׁכָרshêkâran intoxicant, i.e. intensely alcoholic liquor
- אֵלֶּהʼêl-lehthese or those
- מִןminproperly, a part of; hence (prepositionally), from or out of in many senses
- בָּלַעbâlaʻto make away with (specifically by swallowing); generally, to destroy
- תָּעָהtâʻâhto vacillate, i.e. reel or stray (literally or figuratively); also causative of both
+maneno 3 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Isa 56:10–12, Luk 21:34, Mat 24:29, Ecc 10:17, Pro 20:1, Isa 19:14, Psa 107:27, Jer 14:14