Isaya 17:6
Hata hivyo baadhi ya masazo yatabaki, kama vile mti wa mzeituni unavyopigwa, kukiachwa zeituni mbili au tatu juu ya matawi kileleni, nne au tano katika matawi yanayozaa sana,” asema Mwenyezi Mungu, Mungu wa Israeli.Isaya 17:6 katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- גַּרְגַּרgargara berry (as if a pellet of rumination)
- אָמִירʼâmîyra summit (of a tree or mountain
- נֹקֶףnôqepha threshing (of olives)
- סָעִיףçâʻîypha fissure (of rocks); also a bough (as subdivided)
- עֹלֵלָהʻôlêlâhonly in plural gleanings; by extension gleaning-time
- פָּרָהpârâhto bear fruit (literally or figuratively)
- זַיִתzayithan olive (as yielding illuminating oil), the tree, the branch or the berry
- שָׁאַרshâʼarproperly, to swell up, i.e. be (causatively, make) redundant
+maneno 8 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.