Isaya 16:8
Mashamba ya Heshboni yananyauka, pia na mizabibu ya Sibma. Watawala wa mataifa wamekanyaga mizabibu iliyo mizuri sana, ambayo ilipata kufika Yazeri na kuenea kuelekea jangwani. Machipukizi yake yalienea yakafika hadi baharini.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- שִׁלֻּחָהshilluchâha shoot
- שָׂרוּקsârûwqa grapevine
- שְׂבָםSᵉbâmSebam or Sibmah, a place in Moab
- שְׁדֵמָהshᵉdêmâha cultivated field
- הָלַםhâlamto strike down; by implication, to hammer, stamp, conquer, disband
- יַעֲזֵירYaʻăzêyrJaazer or Jazer, a place East of the Jordan
- אָמַלʼâmalto droop; by implication to be sick, to mourn
- חֶשְׁבּוֹןCheshbôwnCheshbon, a place East of the Jordan
+maneno 8 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.


