Isaya 1:4
Ole wa taifa lenye dhambi, watu waliolemewa na uovu, uzao wa watenda mabaya, watoto waliozoelea upotovu! Wamemwacha Mwenyezi Mungu, Wamemkataa kwa dharau yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli na kumgeuzia kisogo.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- אֵתʼêthproperly, self (but generally used to point out more definitely the object of a verb or pr
- נָאַץnâʼatsto scorn;
- כָּבֵדkâbêdheavy; figuratively in a good sense (numerous) or in a bad sense (severe, difficult, stupi
- הוֹיhôwyoh!
- רָעַעrâʻaʻproperly, to spoil (literally, by breaking to pieces); figuratively, to make (or be) good
- זוּרzûwrto turn aside (especially for lodging); hence to be aforeigner, strange, profane; specific
- קָדוֹשׁqâdôwshsacred (ceremonially or morally); (as noun) God (by eminence), an angel, a saint, a sanctu
- שָׁחַתshâchathto decay, i.e. (causatively) ruin (literally or figuratively)
+maneno 9 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.