Hosea 9:4
Hawatammiminia Mwenyezi Mungu sadaka ya divai wala dhabihu zao hazitampendeza. Dhabihu kama hizo zitakuwa kwao kama mkate wa waombolezaji; nao wote wazilao watakuwa najisi. Chakula hiki kitakuwa kwa ajili yao wenyewe; kisije katika Hekalu la Mwenyezi Mungu.Hosea 9:4 katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- עָרֵבʻârêbto be agreeable
- נָסַךְnâçakto pour out, especially a libation, or to cast (metal); by analogy, to anoint aking
- אָוֶןʼâvenstrictly nothingness; also trouble. vanity, wickedness; specifically an idol
- טָמֵאṭâmêʼto be foul, especially in a ceremial or moral sense (contaminated)
- יַיִןyayinwine (as fermented); by implication, intoxication
- זֶבַחzebachproperly, a slaughter, i.e. the flesh of an animal; by implication, a sacrifice (the victi
- לֶחֶםlechemfood (for man or beast), especially bread, or grain (for making it)
- נֶפֶשׁnepheshproperly, a breathing creature, i.e. animal of (abstractly) vitality; used very widely in
+maneno 4 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.