MEGA.Bible Tafuta
Kiswahili

Hosea 9:4

Hawatammiminia Mwenyezi Mungu sadaka ya divai wala dhabihu zao hazitampendeza. Dhabihu kama hizo zitakuwa kwao kama mkate wa waombolezaji; nao wote wazilao watakuwa najisi. Chakula hiki kitakuwa kwa ajili yao wenyewe; kisije katika Hekalu la Mwenyezi Mungu.

Soma katika muktadha

Hosea 9:4 katika ulimwengu halisi

Nani

God

Pachika mstari huu

Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/hos/9/4" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="Hosea 9:4 — MEGA.Bible"></iframe>