MEGA.Bible Tafuta
Kiswahili

Waebrania 9:4

ambapo palikuwa na yale madhabahu ya dhahabu ya kufukizia uvumba, na lile Sanduku la Agano lililofunikwa kwa dhahabu. Sanduku hili lilikuwa na gudulia la dhahabu lenye mana, ile fimbo ya Haruni iliyochipuka, na vile vibao vya mawe vya Agano.

Soma katika muktadha

Mstari huu katika ulimwengu halisi

Nani

Aaron

Pachika mstari huu

Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/heb/9/4" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="Waebrania 9:4 — MEGA.Bible"></iframe>