Waebrania 9:4
ambapo palikuwa na yale madhabahu ya dhahabu ya kufukizia uvumba, na lile Sanduku la Agano lililofunikwa kwa dhahabu. Sanduku hili lilikuwa na gudulia la dhahabu lenye mana, ile fimbo ya Haruni iliyochipuka, na vile vibao vya mawe vya Agano.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- θυμιαστήριονthymiastḗriona place of fumigation, i.e. the alter of incense (in the Temple)
- πάντοθενpántothenfrom (i.e. on) all sides
- στάμνοςstámnosa jar or earthen tank
- πλάξpláxa moulding-board, i.e. flat surface ("plate", or tablet, literally or figuratively)
- ἈαρώνAarṓnAaron, the brother of Moses
- περικαλύπτωperikalýptōto cover all around, i.e. entirely (the face, a surface)
- βλαστάνωblastánōto germinate; by implication, to yield fruit
- κιβωτόςkibōtósa box, i.e. the sacred ark and that of Noah
+maneno 9 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Num 17:10, Exo 26:33, Lev 16:12, Exo 40:3, 2Ch 5:10, Exo 40:20–21, Exo 16:32–34, Num 17:5