Waebrania 8:6
Lakini huduma aliyopewa Isa ni bora kuliko yao, kama vile agano ambalo yeye ni mpatanishi wake lilivyo bora zaidi ya lile la zamani, nalo limewekwa misingi ya ahadi zilizo bora zaidi.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- νομοθετέωnomothetéōto legislate, i.e. (passively) to have (the Mosaic) enactments injoined, be sanctioned (by
- διάφοροςdiáphorosvarying; also surpassing
- λειτουργίαleitourgíapublic function (as priest ("liturgy") or almsgiver)
- μεσίτηςmesítēsa go-between, i.e. (simply) an internunciator, or (by implication) a reconciler (intercess
- τυγχάνωtynchánōakin to the base of G5088 (τίκτω) through the idea of effecting; properly, to affect; or (
- κρείττωνkreíttōnstronger, i.e. (figuratively) better, i.e. nobler
- νυνίnyníjust now
- διαθήκηdiathḗkēproperly, a disposition, i.e. (specially) a contract (especially a devisory will)
+maneno 6 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Heb 7:22, Gal 3:16–21, Heb 12:24, 2Pe 1:4, Luk 22:20, 2Co 3:6–11, Rom 9:4, Tit 1:2