Waebrania 6:18
Mungu alifanya hivyo ili kwa vitu viwili visivyobadilika, yaani ahadi yake na kiapo chake, ambavyo kwavyo Mungu hawezi kusema uongo, sisi ambao tumemkimbilia ili tulishike lile tumaini lililowekwa mbele yetu tuwe na faraja thabiti.Waebrania 6:18 katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- καταφεύγωkatapheúgōto flee down (away)
- ἀμετάθετοςametáthetosunchangeable, or (neuter as abstract) unchangeability
- ἀδύνατοςadýnatosunable, i.e. weak (literally or figuratively); passively, impossible
- πρᾶγμαprâgmaa deed; by implication, an affair; by extension, an object (material)
- ψεύδομαιpseúdomaito utter an untruth or attempt to deceive by falsehood
- ἰσχυρόςischyrósforcible (literally or figuratively)
- παράκλησιςparáklēsisimploration, hortation, solace
- ἐλπίςelpísexpectation (abstractly or concretely) or confidence
+maneno 9 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.