Waebrania 2:17
Kwa sababu hii ilibidi afanane na ndugu zake kwa kila hali, ili apate kuwa Kuhani Mkuu mwenye huruma na mwaminifu katika kumtumikia Mungu, ili pia apate kufanya upatanisho kwa ajili ya dhambi za watu.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- ἐλεήμωνeleḗmōncompassionate (actively)
- ἱλάσκομαιhiláskomaito conciliate, i.e. (transitively) to atone for (sin), or (intransitively) be propitious
- ὅθενhóthenfrom which place or source or cause (adverb or conjunction)
- ὁμοιόωhomoióōto assimilate, i.e. compare; passively, to become similar
- ὀφείλωopheílōto owe (pecuniarily); figuratively, to be under obligation (ought, must, should); morally,
- πιστόςpistósobjectively, trustworthy; subjectively, trustful
- ἀρχιερεύςarchiereústhe high-priest (literally, of the Jews, typically, Christ); by extension a chief priest
- ἁμαρτίαhamartíaa sin (properly abstract)
+maneno 9 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Php 2:7–8, Heb 4:14–5:2, Heb 2:14, Rom 5:10, 2Co 5:18–21, Heb 7:26, Heb 3:5, Heb 2:11