Waebrania 2:11
Yeye awafanyaye watu kuwa watakatifu, pamoja na hao ambao hufanywa watakatifu, wote hutoka katika jamaa moja. Hivyo Isa haoni aibu kuwaita ndugu zake.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- ἐπαισχύνομαιepaischýnomaito feel shame for something
- αἰτίαaitíaa cause (as if asked for), i.e. (logical) reason (motive, matter), (legal) crime (alleged
- ἁγιάζωhagiázōto make holy, i.e. (ceremonially) purify or consecrate; (mentally) to venerate
- καλέωkaléōto "call" (properly, aloud, but used in a variety of applications, directly or otherwise)
- τέtéboth or also (properly, as correlation of G2532 (καί))
- εἷςheîsone
- διάdiáthrough (in very wide applications, local, causal, or occasional)
- ἐκekliteral or figurative; direct or remote)
+maneno 6 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.