Hagai 2:4
Lakini sasa uwe imara, ee Zerubabeli,’ asema Mwenyezi Mungu. ‘Kuwa imara, ee kuhani mkuu Yoshua mwana wa Yehosadaki. Mwe imara, enyi watu wote wa nchi,’ asema Mwenyezi Mungu, ‘na mfanye kazi. Kwa kuwa mimi nipo pamoja nanyi,’ asema Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- יְהוֹצָדָקYᵉhôwtsâdâqJehotsadak, an Israelite
- זְרֻבָּבֶלZᵉrubbâbelZerubbabel, an Israelite
- יְהוֹשׁוּעַYᵉhôwshûwaʻJehoshua (i.e. Joshua), the Jewish leader
- חָזַקchâzaqto fasten upon; hence, to seize, be strong (figuratively, courageous, causatively strength
- נְאֻםnᵉʼuman oracle
- גָּדוֹלgâdôwlgreat (in any sense); hence, older; also insolent
- כֹּהֵןkôhênliterally one officiating, a priest; also (by courtesy) an acting priest (although a layma
- עַםʻama people (as a congregated unit); specifically, a tribe (as those of Israel); hence (colle
+maneno 4 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.