Hagai 2:23
“ ‘Katika siku ile,’ asema Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni, ‘nitakuchukua wewe, mtumishi wangu Zerubabeli mwana wa Shealtieli,’ asema Mwenyezi Mungu. ‘Nitakufanya kama pete yangu ya muhuri, kwa kuwa nimekuchagua,’ asema Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni.”Hagai 2:23 katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- שְׁאַלְתִּיאֵלShᵉʼaltîyʼêlShealtiel, an Israelite
- חוֹתָםchôwthâma signature-ring
- זְרֻבָּבֶלZᵉrubbâbelZerubbabel, an Israelite
- בָּחַרbâcharproperly, to try, i.e. (by implication) select
- נְאֻםnᵉʼuman oracle
- צָבָאtsâbâʼa mass of persons (or figuratively, things), especially reg. organized forwar (an army); b
- שׂוּםsûwmto put (used in a great variety of applications, literal, figurative, inferentially, and e
- עֶבֶדʻebeda servant
+maneno 4 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.