Mwanzo 9:23
Lakini Shemu na Yafethi wakachukua nguo, wakaitanda mabegani mwao wote wawili, kisha wakaenda kinyumenyume, wakaufunika uchi wa baba yao. Nyuso zao zilielekea upande mwingine ili wasiuone uchi wa baba yao.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- אֲחֹרַנִּיתʼăchôrannîythbackwards
- יֶפֶתYephethJepheth, a son of Noah; also his posterity
- שֵׁםShêmShem, a son of Noah (often includ. his posterity)
- שְׁכֶםshᵉkemthe neck (between the shoulders) as the place of burdens; figuratively, the spur of ahill
- שִׂמְלָהsimlâha dress, especially a mantle
- עֶרְוָהʻervâhnudity, literally (especially the pudenda) or figuratively (disgrace, blemish)
- כָּסָהkâçâhproperly, to plump, i.e. fill up hollows; by implication, to cover (for clothing or secrec
- שׂוּםsûwmto put (used in a great variety of applications, literal, figurative, inferentially, and e
+maneno 6 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.