Mwanzo 7:23
Kila kitu chenye uhai juu ya uso wa nchi kilifutiliwa mbali; watu, wanyama pori, viumbe vinavyotambaa ardhini, na ndege warukao angani wakafutiliwa mbali toka duniani. Waliobaki ni Nuhu peke yake na wale waliokuwa pamoja naye ndani ya safina.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- יְקוּםyᵉqûwmproperly, standing (extant), i.e. by implication, a living thing
- רֶמֶשׂremesa reptile or any other rapidly moving animal
- אַךְʼaka particle of affirmation, surely; hence (by limitation) only
- מָחָהmâchâhproperly, to stroke or rub; by implication, to erase; also to smooth (as if with oil), i.e
- נֹחַNôachNoach, the patriarch of the flood
- עוֹףʻôwpha bird (as covered with feathers, or rather as covering with wings), often collectively
- אֲשֶׁרʼăsherwho, which, what, that; also (as an adverb and a conjunction) when, where, how, because, i
- שָׁאַרshâʼarproperly, to swell up, i.e. be (causatively, make) redundant
+maneno 6 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
2Pe 2:5, 1Pe 3:20, Heb 11:7, Luk 17:26–27, 2Pe 3:6, Mat 24:37–39, Mal 3:17–18, Gen 7:21–22