Mwanzo 5:10
Baada ya kumzaa Kenani, Enoshi aliishi miaka mia nane na kumi na tano (815), naye alikuwa na watoto wengine wa kiume na wa kike.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Lini
Kwa maneno gani
- קֵינָןQêynânKenan, an antediluvian
- אֱנוֹשׁʼĔnôwshEnosh, a son of Seth
- שְׁמֹנֶהshᵉmôneha cardinal number, eight (as if a surplus above the 'perfect' seven); also (as ordinal) ei
- חָיָהchâyâhto live, whether literally or figuratively; causatively, to revive
- חָמֵשׁchâmêshfive
- עָשָׂרʻâsârten (only in combination), i.e. -teen; also (ordinal) -teenth
- יָלַדyâladto bear young; causatively, to beget; medically, to act as midwife; specifically, to show
- מֵאָהmêʼâha hundred; also as a multiplicative and a fraction
+maneno 3 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.