Mwanzo 43:7
Wakamjibu, “Yule mtu alituhoji kwa undani sana habari zetu na za jamaa yetu. Alituuliza, ‘Je, baba yenu bado angali hai? Je, mnaye ndugu mwingine?’ Sisi tulimjibu maswali yake tu. Tungewezaje kujua kwamba angesema, ‘Mleteni mdogo yenu hapa’?”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- מוֹלֶדֶתmôwledethnativity (plural birth-place); by implication, lineage, native country; also offspring, fa
- עַלʻalabove, over, upon, or against (yet always in this last relation with a downward aspect) in
- יֵשׁyêshthere is or are (or any other form of the verb to be, as may suit the connection)
- שָׁאַלshâʼalto inquire; by implication, to request; by extension, to demand
- נָגַדnâgadproperly, to front, i.e. stand boldly out opposite; by implication (causatively), to manif
- יָרַדyâradto descend (literally, to go downwards; or conventionally to a lower region, as the shore,
- חַיchayalive; hence, raw (flesh); fresh (plant, water, year), strong; also (as noun, especially i
- פֶּהpehthe mouth (as the means of blowing), whether literal or figurative (particularly speech);
+maneno 6 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.