Mwanzo 42:7
Mara Yusufu alipowaona ndugu zake, akawatambua. Lakini akajifanya mgeni na kuzungumza nao kwa ukali, akiwauliza, “Ninyi mnatoka wapi?” Wakamjibu, “Tumetoka nchi ya Kanaani kuja kununua chakula.”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Wapi
Kwa maneno gani
- אַיִןʼayinwhere? (only in connection with prepositional prefix, whence)
- שָׁבַרshâbarto deal in grain
- קָשֶׁהqâshehsevere (in various applications)
- נָכַרnâkarproperly, to scrutinize, i.e. look intently at; hence (with recognition implied), to ackno
- כְּנַעַןKᵉnaʻanKenaan, a son a Ham; also the country inhabited by him
- יוֹסֵףYôwçêphJoseph, the name of seven Israelites
- אָחʼâcha brother (used in the widest sense of literal relationship and metaphorical affinity or r
- דָבַרdâbarperhaps properly, to arrange; but used figuratively (of words), to speak; rarely (in a des
+maneno 4 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Gen 42:30, Gen 42:14–17, Gen 42:19–20, Mat 15:23–26, Gen 42:9–12
