Mwanzo 42:38
Lakini Yakobo akasema, “Mwanangu hatashuka huko pamoja nanyi; ndugu yake amekufa, naye ndiye peke yake aliyebaki. Akipatwa na madhara katika safari mnayoiendea, mtashusha kichwa changu chenye mvi kaburini kwa masikitiko.”Mwanzo 42:38 katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- אָסוֹןʼâçôwnhurt
- יָגוֹןyâgôwnaffliction
- קָרָאqârâʼto encounter, whether accidentally or in a hostile manner
- שֵׂיבָהsêybâhold age
- שָׁאַרshâʼarproperly, to swell up, i.e. be (causatively, make) redundant
- יָרַדyâradto descend (literally, to go downwards; or conventionally to a lower region, as the shore,
- אָחʼâcha brother (used in the widest sense of literal relationship and metaphorical affinity or r
- דֶּרֶךְdereka road (as trodden); figuratively, a course of life or mode of action, often adverb
+maneno 4 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.