Mwanzo 4:23
Lameki akawaambia wake zake, “Ada na Sila, nisikilizeni mimi; wake wa Lameki sikieni maneno yangu. Nimemuua mtu kwa kunijeruhi, kijana mdogo kwa kuniumiza.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- צִלָּהTsillâhTsillah, an antediluvian woman
- עָדָהʻÂdâhAdah, the name of two women
- פֶּצַעpetsaʻa wound
- לֶמֶךְLemekLemek, the name of two antediluvian patriarchs
- אִמְרָהʼimrâh{something said}
- אָזַןʼâzanto broaden out the ear (with the hand), i.e. (by implication) to listen
- יֶלֶדyeledsomething born, i.e. a lad or offspring
- הָרַגhâragto smite with deadly intent
+maneno 5 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.