Mwanzo 38:11
Kisha Yuda akamwambia Tamari mkwewe, “Ishi kama mjane nyumbani mwa baba yako hadi mwanangu Shela atakapokua.” Kwa maana alifikiri, “Anaweza kufa pia kama ndugu zake.” Kwa hiyo Tamari akaenda kuishi nyumbani mwa baba yake.Mwanzo 38:11 katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- שֵׁלָהShêlâhShelah, the name of a postdiluvian patriarch and of an Israelite
- תָּמָרTâmârTamar, the name of three women and a place
- כַּלָּהkallâha bride (as if perfect); hence, a son's wife
- אַלְמָנָהʼalmânâha widow; also a desolate place
- גָּדַלgâdalto be (causatively make) large (in various senses, as in body, mind, estate or honor, also
- אָחʼâcha brother (used in the widest sense of literal relationship and metaphorical affinity or r
- מוּתmûwthto die (literally or figuratively); causatively, to kill
- יְהוּדָהYᵉhûwdâhJehudah (or Judah), the name of five Israelites; also of the tribe descended from the firs
+maneno 6 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.