Mwanzo 33:13
Lakini Yakobo akamwambia, “Bwana wangu, unajua kwamba watoto ni wachanga na kwamba ni lazima nitunze hawa ng’ombe na kondoo wanaonyonyesha. Wakipelekwa kwa haraka hata kama ni kwa siku moja tu, wanyama wote watakufa.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- דָּפַקdâphaqto knock; by analogy, to press severely
- עוּלʻûwlto suckle, i.e. give milk
- רַךְraktender (literally or figuratively); by implication, weak
- יֶלֶדyeledsomething born, i.e. a lad or offspring
- בָּקָרbâqârbeef cattle or an animal of the ox family of either gender (as used for plowing); collecti
- צֹאןtsôʼna collective name for a flock (of sheep or goats); also figuratively (of men)
- אָדוֹןʼâdôwnsovereign, i.e. controller (human or divine)
- אֶחָדʼechâdproperly, united, i.e. one; or (as an ordinal) first
+maneno 3 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Isa 40:11, Ezk 34:15–16, Ezk 34:23–25, Jhn 21:15–17, Pro 12:10, 1Ch 22:5