Mwanzo 33:1
Yakobo akainua macho, akamwona Esau akija na watu wake mia nne. Kwa hiyo akawagawanya watoto kati ya Lea, Raheli na wale wajakazi wake wawili.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- חָצָהchâtsâhto cut or split in two; to halve
- לֵאָהLêʼâhLeah, a wife of Jacob
- רָחֵלRâchêlRachel, a wife of Jacob
- יֶלֶדyeledsomething born, i.e. a lad or offspring
- עֵשָׂוʻÊsâvEsav, a son of Isaac, including his posterity
- אַרְבַּעʼarbaʻfour
- יַעֲקֹבYaʻăqôbJaakob, the Israelitish patriarch
- מֵאָהmêʼâha hundred; also as a multiplicative and a fraction
+maneno 6 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.