Mwanzo 30:40
Yakobo akawatenga wadogo wa kundi peke yao, lakini akazielekeza nyuso za hao waliobaki kwenye wale wenye mistari na weusi waliokuwa mali ya Labani. Hivyo akatenga makundi yake mwenyewe, wala hakuwachanganya na wanyama wa Labani.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- חוּםchûwmsunburnt or swarthy (blackish)
- עָקֹדʻâqôdstriped (with bands)
- כֶּשֶׂבkeseba young sheep
- פָּרַדpâradto break through, i.e. spread or separate (oneself)
- עֵדֶרʻêderan arrangement, i.e. muster (of animals)
- אֵלʼêlnear, with or among; often in general, to
- לָבָןLâbânLaban, a Mesopotamian; also a place in the Desert
- שִׁיתshîythto place (in a very wide application)
+maneno 4 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.