Mwanzo 30:16
Kwa hiyo Yakobo alipokuja kutoka shambani jioni ile, Lea akaenda kumlaki, akamwambia, “Lazima ukutane nami kimwili. Nimekukodisha kwa tunguja za mwanangu.” Kwa hiyo akakutana naye kimwili usiku ule.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- דּוּדַיdûwdaya boiler or basket; also the mandrake (as an aphrodisiac)
- שָׂכַרsâkarto hire
- לֵאָהLêʼâhLeah, a wife of Jacob
- עֶרֶבʻerebdusk
- קִרְאָהqirʼâhan encountering, accidental, friendly or hostile (also adverbially, opposite)
- שָׁכַבshâkabto lie down (for rest, sexual connection, decease or any other purpose)
- שָׂדֶהsâdeha field (as flat)
- יַעֲקֹבYaʻăqôbJaakob, the Israelitish patriarch
+maneno 4 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.