Mwanzo 20:9
Kisha Abimeleki akamwita Ibrahimu na kumwambia, “Wewe umetufanyia nini? Nimekukosea nini hata ukaleta hatia kubwa namna hii kwangu na kwa ufalme wangu? Umenifanyia mambo ambayo hayakupasa kufanyika.”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- חֲטָאָהchăṭâʼâhan offence, or a sacrifice forit
- אֲבִימֶלֶךְʼĂbîymelekAbimelek, the name of two Philistine kings and of two Israelites
- מַמְלָכָהmamlâkâhdominion, i.e. (abstractly) the estate (rule) or (concretely) the country (realm)
- אַבְרָהָםʼAbrâhâmAbraham, the later name of Abram
- חָטָאchâṭâʼproperly, to miss; hence (figuratively and generally) to sin; by inference, to forfeit, la
- מַעֲשֶׂהmaʻăsehan action (good or bad); generally, a transaction; abstractly, activity; by implication, a
- גָּדוֹלgâdôwlgreat (in any sense); hence, older; also insolent
- קָרָאqârâʼto call out to (i.e. properly, address by name, but used in a wide variety of applications
+maneno 3 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.