Mwanzo 18:32
Ibrahimu akasema, “Bwana na asikasirike, lakini niruhusu nizungumze tena mara moja tu. Itakuwaje kama watapatikana huko watu kumi tu?” Bwana akajibu, “Kwa ajili ya hao kumi, sitauangamiza.”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Lini
Nani
Kwa maneno gani
- אַךְʼaka particle of affirmation, surely; hence (by limitation) only
- חָרָהchârâhto glow or grow warm; figuratively (usually) to blaze up, of anger, zeal, jealousy
- פַּעַםpaʻama stroke, literally or figuratively (in various applications, as follow)
- שָׁחַתshâchathto decay, i.e. (causatively) ruin (literally or figuratively)
- עֶשֶׂרʻeserten (as an accumulation to the extent of the digits)
- מָצָאmâtsâʼproperly, to come forth to, i.e. appear or exist; transitively, to attain, i.e. find or ac
- אֲדֹנָיʼĂdônâythe Lord (used as a proper name of God only)
- דָבַרdâbarperhaps properly, to arrange; but used figuratively (of words), to speak; rarely (in a des
+maneno 1 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Jas 5:15–17, Jdg 6:39, Mat 7:7, 1Jn 5:15–16, Eph 3:20, Mic 7:18, Exo 32:9–10, Isa 65:8