Mwanzo 17:19
Ndipo Mungu akasema, “Ndiyo, lakini mkeo Sara atakuzalia wewe mwana, nawe utamwita jina lake Isaka. Nitalithibitisha agano langu naye kama agano la milele kwa ajili yake na wazao wake baada yake.Mwanzo 17:19 katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- אֲבָלʼăbâlnay, i.e. truly or yet
- שָׂרָהSârâhSarah, Abraham's wife
- יִצְחָקYitschâqJitschak (or Isaac), son of Abraham
- זֶרַעzeraʻseed; figuratively, fruit, plant, sowing-time, posterity
- בְּרִיתbᵉrîytha compact (because made by passing between pieces of flesh)
- עוֹלָםʻôwlâmproperly, concealed, i.e. the vanishing point; generally, time out of mind (past or future
- יָלַדyâladto bear young; causatively, to beget; medically, to act as midwife; specifically, to show
- קוּםqûwmto rise (in various applications, literal, figurative, intensive and causative)
+maneno 6 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Gen 21:2–3, Luk 1:13–20, Gen 18:10–14, Gal 4:28–31, 2Ki 4:16–17, Gen 21:6, Rom 9:6–9, Gen 26:3