Mwanzo 16:3
Hivyo baada ya Abramu kuishi katika nchi ya Kanaani miaka kumi, Sarai akamchukua mjakazi wake Mmisri aliyeitwa Hajiri, na kumpa mumewe awe mke wake.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Wapi
Kwa maneno gani
- הָגָרHâgârHagar, the mother of Ishmael
- שָׂרַיSâraySarai, the wife of Abraham
- מִצְרִיMitsrîya Mitsrite, or inhabitant of Mitsrajim
- אַבְרָםʼAbrâmAbram, the original name of Abraham
- קֵץqêtsan extremity; adverbially (with prepositional prefix) after
- שִׁפְחָהshiphchâha female slave (as a member of the household)
- כְּנַעַןKᵉnaʻanKenaan, a son a Ham; also the country inhabited by him
- עֶשֶׂרʻeserten (as an accumulation to the extent of the digits)
+maneno 7 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
