Mwanzo 14:8
Ndipo mfalme wa Sodoma, na mfalme wa Gomora, mfalme wa Adma, mfalme wa Seboimu, na mfalme wa Bela (yaani Soari) wakatoka kupanga majeshi yao kwenye Bonde la SidimuMstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- צֹעַרTsôʻarTsoar, a place East of the Jordan
- אַדְמָהʼAdmâhAdmah, a place near the Dead Sea
- צְבֹאִיםTsᵉbôʼîymTseboim or Tsebijim, a place in Palestine
- בֶּלַעBelaʻBela, the name of a place, also of an Edomite and of two Israelites
- עֲמֹרָהʻĂmôrâhAmorah, a place in Palestine
- הוּאhûwʼhe (she or it); only expressed when emphatic or without a verb; also (intensively) self, o
- סְדֹםÇᵉdômSedom, a place near the Dead Sea
- עֵמֶקʻêmeqa vale (i.e. broad depression)
+maneno 4 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.

