Mwanzo 14:13
Mtu mmoja aliyekuwa ametoroka akaja kumpa Abramu Mwebrania taarifa. Abramu alikuwa anaishi karibu na mialoni ya Mamre Mwamori, ndugu ya Eshkoli na Aneri, ambao wote walikuwa wameungana na Abramu.Mwanzo 14:13 katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- עָנֵרʻÂnêrAner, a Amorite, also a place in Palestine
- אֶשְׁכֹּלʼEshkôlEshcol, the name of an Amorite, also of a valley in Palestine
- מַמְרֵאMamrêʼMamre, an Amorite
- אֵלוֹןʼêlôwnan oak or other strong tree
- פָּלִיטpâlîyṭa refugee
- עִבְרִיʻIbrîyan Eberite (i.e. Hebrew) or descendant of Eber
- אַבְרָםʼAbrâmAbram, the original name of Abraham
- בַּעַלbaʻala master; hence, a husband, or (figuratively) owner (often used with another noun in modif
+maneno 6 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.