Mwanzo 12:8
Kutoka huko Abramu akasafiri kuelekea kwenye vilima mashariki mwa Betheli, naye akapiga hema huko, Betheli ikiwa upande wa magharibi na Ai upande wa mashariki. Huko alimjengea Mwenyezi Mungu madhabahu na akaliitia jina la Mwenyezi Mungu.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- עָתַקʻâthaqto remove (intransitive or transitive) figuratively, to grow old; specifically, to transcr
- עַיʻAyAi, Aja or Ajath, a place in Palestine
- בֵּית־אֵלBêyth-ʼÊlBeth-El, a place in Palestine
- קֶדֶםqedemthe front, of place (absolutely, the fore part, relatively the East) or time (antiquity);
- נָטָהnâṭâhto stretch or spread out; by implication, to bend away (including moral deflection); used
- אֹהֶלʼôhela tent (as clearly conspicuous from a distance)
- יָםyâma sea (as breaking in noisy surf) or large body of water; specifically (with the article),
- מִזְבֵּחַmizbêachan altar
+maneno 5 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.

