Mwanzo 12:5
Abramu akamchukua Sarai mkewe pamoja na Lutu mwana wa ndugu yake, mali yote waliyokuwa nayo, pamoja na watu aliokuwa amewapata huko Harani, wakasafiri kwenda nchi ya Kanaani, na wakafika huko.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- רָכַשׁrâkashto lay up, i.e. collect
- חָרָןChârânCharan, the name of a man and also of a place
- שָׂרַיSâraySarai, the wife of Abraham
- רְכוּשׁrᵉkûwshproperty (as gathered)
- לוֹטLôwṭLot, Abraham's nephew
- אַבְרָםʼAbrâmAbram, the original name of Abraham
- כְּנַעַןKᵉnaʻanKenaan, a son a Ham; also the country inhabited by him
- אָחʼâcha brother (used in the widest sense of literal relationship and metaphorical affinity or r
+maneno 8 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Gen 14:14, Gen 11:31, Act 7:4, Heb 11:8–9, Gen 10:19, Gen 46:5–26, Gen 14:21

