Wagalatia 4:9
Lakini sasa kwa kuwa mmemjua Mungu, au zaidi mmejulikana na Mungu, inakuwaje mnarejea tena katika zile kanuni za kwanza zenye udhaifu na upungufu? Mnataka ziwafanye tena watumwa?Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- στοιχεῖονstoicheîonsomething orderly in arrangement, i.e. (by implication) a serial (basal, fundamental, init
- ἄνωθενánōthenfrom above; by analogy, from the first; by implication, anew
- ἀσθενήςasthenḗsstrengthless (in various applications, literal, figurative and moral)
- πτωχόςptōchósakin to G4422 (πτοέω) and the alternate of G4098 (πίπτω)); a beggar (as cringing), i.e. pa
- ἐπιστρέφωepistréphōto revert (literally, figuratively or morally)
- μᾶλλονmâllon(adverbially) more (in a greater degree)) or rather
- πῶςpōsan interrogative particle of manner; in what way? (sometimes the question is indirect, how
- νῦνnŷn"now" (as adverb of date, a transition or emphasis); also as noun or adjective present or
+maneno 9 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.