Wagalatia 2:20
Nimesulubiwa pamoja na Al-Masihi, wala si mimi tena ninayeishi, bali Al-Masihi ndiye aishiye ndani yangu. Uhai nilio nao sasa katika mwili, ninaishi kwa imani katika Mwana wa Mungu, aliyenipenda na kujitoa kwa ajili yangu.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- συσταυρόωsystauróōto impale in company with (literally or figuratively)
- οὐκέτιoukétinot yet, no longer
- ἐμοίemoíto me
- ζάωzáōto live (literally or figuratively)
- ἀγαπάωagapáōto love (in a social or moral sense)
- σάρξsárxflesh (as stripped of the skin), i.e. (strictly) the meat of an animal (as food), or (by e
- παραδίδωμιparadídōmito surrender, i.e yield up, intrust, transmit
- νῦνnŷn"now" (as adverb of date, a transition or emphasis); also as noun or adjective present or
+maneno 13 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.