Ezra 3:2
Yeshua mwana wa Yosadaki na makuhani wenzake, Zerubabeli mwana wa Shealtieli pamoja na wenzake walianza kujenga madhabahu ya Mungu wa Israeli ili kumtolea dhabihu za sadaka za kuteketezwa kwa moto, kulingana na ilivyoandikwa katika Torati ya Musa mtu wa Mungu.Ezra 3:2 katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- יוֹצָדָקYôwtsâdâqJotsadak, an Israelite
- שְׁאַלְתִּיאֵלShᵉʼaltîyʼêlShealtiel, an Israelite
- זְרֻבָּבֶלZᵉrubbâbelZerubbabel, an Israelite
- יֵשׁוּעַYêshûwaʻJeshua, the name of ten Israelites, also of a place in Palestine
- תּוֹרָהtôwrâha precept or statute, especially the Decalogue or Pentateuch
- כָּתַבkâthabto grave, by implication, to write (describe, inscribe, prescribe, subscribe)
- עֹלָהʻôlâha step or (collectively, stairs, as ascending); usually a holocaust (as going up in smoke)
- מִזְבֵּחַmizbêachan altar
+maneno 10 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Hag 1:1, Luk 3:27, 1Ch 3:17, Ezr 2:2, Exo 20:24–25, Mat 1:12–13, Psa 78:68, Hag 1:12