Ezekieli 39:11
“ ‘Siku ile nitampa Gogu mahali pa kuzikia katika Israeli, katika bonde la wale wasafirio upande wa mashariki mwa Bahari. Jambo hili litazuia njia ya wasafiri kwa sababu Gogu na makundi yake yote watazikwa huko. Kwa hiyo litaitwa Bonde la Hamon-Gogu.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- חָסַםchâçamto muzzle; by analogy, to stop the nose
- קִדְמָהqidmâhthe forward part (or relatively) East (often adverbially, on the east or in front)
- גּוֹגGôwgGog, the name of an Israelite, also of some nothern nation
- גַּיְאgayʼa gorge (from its lofty sides; hence, narrow, but not a gully or winter-torrent)
- קֶבֶרqebera sepulchre
- הָמוֹןhâmôwna noise, tumult, crowd; also disquietude, wealth
- קָבַרqâbarto inter
- יָםyâma sea (as breaking in noisy surf) or large body of water; specifically (with the article),
+maneno 6 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.

