Ezekieli 10:2
Mwenyezi Mungu akamwambia mtu yule aliyekuwa amevaa nguo ya kitani, “Ingia kati ya yale magurudumu yaliyo chini ya makerubi. Ukaijaze mikono yako makaa ya mawe ya moto kutoka kati ya makerubi na ukayatawanye juu ya mji.” Nilipokuwa nikiangalia, akaingia ndani.Ezekieli 10:2 katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- חֹפֶןchôphena fist (only in the dual)
- גַּלְגַּלgalgala wheel; by analogy, a whirlwind; also dust (as whirled)
- גֶּחֶלgechelan ember
- בַּדbadflaxen thread or yarn; hence, a linen garment
- בֵּיןbêynbetween (repeated before each noun, often with other particles); also as a conjunction, ei
- זָרַקzâraqto sprinkle (fluid or solid particles)
- כְּרוּבkᵉrûwba cherub or imaginary figure
- לָבַשׁlâbashproperly, wrap around, i.e. (by implication) to put on agarment or clothe (oneself, or ano
+maneno 6 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Rev 8:5, Ezk 1:13, Ezk 10:16, Ezk 1:15–20, Jer 24:8–10, Ezk 9:2–3, Ezk 10:7–13, Isa 30:30