Kutoka 34:4
Kwa hiyo Musa akachonga vibao viwili vya mawe kama vile vya kwanza, naye akapanda juu ya Mlima Sinai asubuhi na mapema, kama Mwenyezi Mungu alivyokuwa amemwagiza, akachukua vile vibao viwili vya mawe mikononi mwake.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Wapi
Kwa maneno gani
- פָּסַלpâçalto carve, whether wood or stone
- סִינַיÇîynaySinai, mountain of Arabia
- לוּחַlûwachprobably meaning to glisten; a tablet (as polished), of stone, wood or metal
- שָׁכַםshâkamliterally, to load up (on the back of man or beast), i.e. to start early in the morning
- רִאשׁוֹןriʼshôwnfirst, in place, time or rank (as adjective or noun)
- בֹּקֶרbôqerproperly, dawn (as the break of day); generally, morning
- אֶבֶןʼebena stone
- צָוָהtsâvâh(intensively) to constitute, enjoin
+maneno 7 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
