Kutoka 34:28
Musa alikuwa huko pamoja na Mwenyezi Mungu kwa siku arobaini usiku na mchana bila kula chakula wala kunywa maji. Naye akaandika juu ya vibao maneno ya agano, yaani zile Amri Kumi.Kutoka 34:28 katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- לוּחַlûwachprobably meaning to glisten; a tablet (as polished), of stone, wood or metal
- אַרְבָּעִיםʼarbâʻîymforty
- עֶשֶׂרʻeserten (as an accumulation to the extent of the digits)
- שָׁתָהshâthâhto imbibe (literally or figuratively)
- לַיִלlayilproperly, a twist (away of the light), i.e. night; figuratively, adversity
- כָּתַבkâthabto grave, by implication, to write (describe, inscribe, prescribe, subscribe)
- בְּרִיתbᵉrîytha compact (because made by passing between pieces of flesh)
- לֶחֶםlechemfood (for man or beast), especially bread, or grain (for making it)
+maneno 5 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.