Kutoka 33:1
Kisha Mwenyezi Mungu akamwambia Musa, “Ondoka mahali hapa, wewe pamoja na hao watu uliowapandisha kutoka Misri, mpande hadi nchi niliyomwahidi Ibrahimu, Isaka na Yakobo kwa kiapo, nikisema, ‘Nitawapa wazao wenu nchi hii.’Mstari huu katika ulimwengu halisi
Wapi
Lini
Kwa maneno gani
- יִצְחָקYitschâqJitschak (or Isaac), son of Abraham
- אַבְרָהָםʼAbrâhâmAbraham, the later name of Abram
- שָׁבַעshâbaʻto seven oneself, i.e. swear (as if by repeating a declaration seven times)
- זֶרַעzeraʻseed; figuratively, fruit, plant, sowing-time, posterity
- יַעֲקֹבYaʻăqôbJaakob, the Israelitish patriarch
- מִצְרַיִםMitsrayimMitsrajim, i.e. Upper and Lower Egypt
- מֹשֶׁהMôshehMosheh, the Israelite lawgiver
- עָלָהʻâlâhto ascend, intransitively (be high) or actively (mount); used in a great variety of senses
+maneno 6 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Gen 12:7, Exo 32:13, Exo 32:7, Gen 26:3, Gen 22:16–18, Exo 32:34, Exo 17:3, Gen 13:14–17
