Kutoka 32:8
Wamekuwa wepesi kugeuka na kuacha niliyowaamuru, na wamejitengenezea sanamu ya kusubu yenye umbo la ndama. Wameisujudia na kuitolea dhabihu, nao wamesema, ‘Hii ndiyo miungu yenu, ee Israeli iliyokupandisha kutoka Misri.’ ”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Wapi
Lini
Nani
Kwa maneno gani
- מַהֵרmahêrproperly, hurrying; hence (adverbially) in ahurry
- מַסֵּכָהmaççêkâhproperly, a pouring over, i.e. fusion of metal (especially a cast image); by implication,
- עֵגֶלʻêgela (male) calf (as frisking round), especially one nearly grown (i.e. a steer)
- זָבַחzâbachto slaughter an animal (usually in sacrifice)
- שָׁחָהshâchâhto depress, i.e. prostrate (especially reflexive, in homage to royalty or God)
- סוּרçûwrto turn off (literal or figurative)
- צָוָהtsâvâh(intensively) to constitute, enjoin
- דֶּרֶךְdereka road (as trodden); figuratively, a course of life or mode of action, often adverb
+maneno 6 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
